STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, December 31, 2014

Newz Alert! Mtuhumiwa wa Dawa za Kulevya apigwa risasi akitoroka


MTUHUMIWA wa kesi ya Dawa za Kulevya, anayedaiwa kuwa ni  raia wa Sierra Leone amepigwa risasi na kufariki katika harakati zake za kutaka kutoroka katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Inadaiwa mtuhumiwa huyo Abdul Koroma alikuwa akitaka kuwaacha kwenye mataa askari Magereza kwa kuruka uzio kabla ya kuwahiwa kwa kupigwa risasi.
I





No comments:

Post a Comment