STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, August 22, 2015

Nafasi nyingine kwa Manchester Utd EPL


http://strettynews.com/wp-content/uploads/2015/02/UnitedvPreston.jpg
Mashetani Wekundu ambao wamekuja kivingine msimu huu
Chelsea
Watetezi Chelsea wanaopepesuka
KIVUMBI cha Ligi Kuu England kinaendelea leo kwa michezo kadhaa, lakini mapema saa 8;30 mchana Mashetani Wekundu watakuwa wakisaka nafasi ya kurejea kileleni japo kwa sasa kadhaa wakati watakapovaana na vibonde Newcastle United kwenye Uwanja wa Old Trafford.
Manchester United yenye pointi sita inaweza kuiengua Man City ambayo yenye itacheza kesho dhidi ya Everton kwa kufikisha pointi 9 kama itashinda huku ikiombea Leicester City ipoteze mchezo wake wa leo dhidi ya Tottenham Hotspur.
Ratiba kamili ya ligi hiyo kwa leo, kesho Jumapili na Jumatatu ambapo Arsenal itakuwa na kibarua kigumu cha kuibakaribisha Liverpool ipo hapo chini jionee mwenyewe;
Leo Jumamosi:
Manchester United     11 : 45    Newcastle United        
Crystal Palace     14 : 00    Aston Villa        
West Ham United     14 : 00    AFC Bournemouth        
Norwich City     14 : 00    Stoke City        
Sunderland     14 : 00    Swansea City        
Leicester City     14 : 00    Tottenham Hotspur        
Kesho Jumapili
West Bromwich Albion 12 : 30    Chelsea        
Everton     15 : 00    Manchester City        
Watford     15 : 00    Southampton        
Jumatatu
Arsenal     19 : 00    Liverpool

No comments:

Post a Comment