STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, January 6, 2016

Simba yaongoza 1-0 dhidi ya URA, JKU yaifumua Jamhuri 3-0

KIPINDI cha pili cha pambano la michuano ya Kombe la Mapinduzi Kundi A limeanza kipindi cha pili sasa na Simba wanaongoza kwa bao 1-0.
Bao lao liliwekwa kimiani na Ibrahim Ajib, baada ya mabeki wa URA Uganda kuzembea kuokoa mpira langoni mwao na Ajib kufumua shuti lililotinga kimiani.
Pambano ni kali kweli kweli. Katika mchezo wa mapema jioni, JKU ilifumua Jamhuri Pemba kwa mabao 3-0.

No comments:

Post a Comment