STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, September 20, 2012

CHELSEA, BARCA, MAN UTD ZATAKATA ULAYA

Shinji Kagawa akiwajibika katikam pambano lao dhidi ya Galatasaray

Wachezaji wa Chelsea wakishangilia moja ya mabao yao



















WAKATI mabingwa watetezi Chelsea ya Uingereza ikianza kwa sare ya 2-2 kwenye mbio za kuwania Ligi ya Mabingwa Ulaya, ndugu zao wa Manchester United walianza ligi yab makundi kwa ushindi kiduchu wa bao 1-0 dhidi ya Galatasaray.

Nao vinara wa Ligi ya Hispania, Barcelona waliponea chupuchupu na kufanikiwa kuibuka mshdini wa mabao 3-2 dhidi ya Spartak Moscow, ilihali wanafainali za mwaka jana, Bayern Munich iliipata ushindi wa mabao 2-1 mbele ya Valencia.

Matokeo kamili ya mechi zilizochezwa usiku wa kuamkia leo ni kama ifuatavyo;


19 September
Shakhtar Donetsk2 - 0FC Nordsjaelland
HH Mkhitaryan (43)
HH Mkhitaryan (75)

Donbass ArenaAttendance (51624)
Teams | Report
19 September
Chelsea2 - 2Juventus
EdSJ Oscar (30)
EdSJ Oscar (32)

A Vidal (37)
F Quagliarella (79)
Stamford BridgeAttendance (40918)
Teams | Report

19 September
Bayern Munich2 - 1Valencia
B Schweinsteiger (37)
T Kroos (75)

N Haedo Valdez (90)
Allianz ArenaAttendance (65374)
Teams
19 September
Lille1 - 3BATE
A Chedjou (59)
A Volodko (5)
V Rodionov (19)
E Olekhnovich (42)
Lille MetropoleAttendance (43215)
Teams | Report

19 September
Barcelona3 - 2Spartak Moscow
CH Tello (13)
LA Messi (70)
LA Messi (79)

d Dani Alves (og 29)
BM Romulo (57)
Camp NouAttendance (82241)
Teams | Report
19 September
Celtic0 - 0Benfica
Celtic Park
Teams | Report

19 September
Man Utd1 - 0Galatasaray
M Carrick (6)
Old TraffordAttendance (74653)
Teams | Report
19 September
Braga0 - 2CFR Cluj-Napoca

R Bastos (18)
R Bastos (33)
Estadio AXAAttendance (24000)

No comments:

Post a Comment