STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, February 11, 2013

MAN UNITED YAZIDI KUPAA ENGLAND, MAN CITY WAKATA TAMAA


VINARA wa Ligi Kuu ya England, klabu ya Manchester United imeendelea kujikita kileleni mwa msimamo baada ya kuendeleza wimbo lake la ushindi kwa kuilaza Everton mabao 2-0, huku wakishuhudiwa na kocha wa Real Madrid, Jose Mourinho ambao watakutana na kikosi chake katika Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Timu hizo mbili zitakutana Jumatano katika mechi hizo za kuwania kutinga robo fainali za Ulaya, ambapo Mourinho ambao vijana wao jana walipata ushindi mnono wa mabao 4-1 dhidi ya Sevilla 
ipashia vema misuli Real Madrid na Cristiano Ronaldo wao kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Everton na kuzidi kupaa kileleni mwa Ligi Kuu England kwa pointi 12 zaidi.
Pamoja na Jose Mourinho kuushuhudia mchezo huo, Real Madrid inaonekana haitakuwa na kazi nyepesi mbele ya United ambayo leo ushindi wake umetokana na mabao ya Ryan Giggs na Robin van Persie.
Gap: Manchester United moved 12 points clear of rivals City at the top of the table
Wachezaji wa Manchester United wakishangilia

No comments:

Post a Comment