STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, February 25, 2013

PAMBANO LA GOLDEN BUSH VETERANI VS CLOUDS KATIKA PICHA


Kikosi cha Clouds The Dream Team

Wachezaji wa timu za Golden Bush na Clouds wakiwa katika picha ya pamoja

Kikosi cha Golden Bush kilichoipa kichapo cha mabao 4-1 Clouds The Dream Team

Kivumbi uwanjani

Shija Katina (8) Nahodha wa Golden Bush katika harakati zake uwanjani na vijana wa Clouds

Mchezaji wa Clouds akitafuta wapi pa kupeleka pasi kwa wenzake

Shija Katina na wachezaji wa Cl;ouds wakiusaka mpira


Said Swedi 'Panucci' aliyefunga mabao mawili kati ya manne ya Golden Bush akiambaa na mpita, huku akinyemelewa na Shafii Dauda (kulia)

Baadhi ya mashabiki wa Clouds wakiwa hawaamini kama wamelala kwa Golden Bush

Mkali Shafii Dauda


Shafii Dauda akionyesha kiwango chake katika soka, sio kutangaza tu!

MAN II MAN: Majaliwa (14) beki wa Golden Bush akimchunga Ben KInyaiya, mfungaji wa bao la kufutia machozi la Clouds katika mechi iliyochezwa juzi jijini Dar es Salaam. (PICHA ZOTE ZIMEHAMISHWA SHAFII DAUDA)

No comments:

Post a Comment