STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, February 25, 2013

TIMBULO KAKAMATWA BURUNDI NA MADAWA YA KULEVYA?


Kuna tetesi kuwa msanii wa Bongo flava maarufu kwa jina la Timbulo, ambaye amepata umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wa kuimba katika nyimbo zake kadhaa kama  Domo Langu, Waleo Wakesho, Samson na Delilah, amekamatwa mjini Bujumbura kwa tuhuma za kukutwa na madawa ya kulevya. Timbulo alikuwa huko katika kufanya mipango ya kufanya maonyesho kadhaa nchini Burundi mwezi April mwaka huu.
CHANZO:SANAA NA WASANII TANZANIA

No comments:

Post a Comment