STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, May 8, 2013

Unamkumbuka mcharaza gitaa huyu Alain Dekula Kahanga 'Vumbi?

 
Mwanamuziki nyota aliyewahi kutamba na bendi kadhaa nchini ikiwamo Orchestra Marquiz Original 'Wana Sendema' akiwa ni mtunzi, muimbaji na mcharaza gitaa la solo unajua kafanya nini nchini Sweden anakoendelea na fani yake ya muziki? Fuatilia Blog hii ya MICHARAZO MITUPU upate majibu ya kitu gani amekifanya ughaibuni.

No comments:

Post a Comment