STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, June 18, 2013

Mbunge CHADEMA, Mr Sugu atapata ajali akielekea Arusha

Mbuinge wa Mbeya Mjini-CHADEMA, Mhe. Joseph Mbilinyi 'Sugu'
Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi amepata ajali hivi punde katika eneo la kasheki wilayani Hanan'g akielekea Arusha mjini.

Joseph Mbilinyi maarufu Sugu alikuwa akielekea Arusha mjini kuungana na wabunge wengine ktk shughuli ya kuaga marehemu
waliolipukiwa na bomu kwenye mkutano wa Chadema, mwishoni mwa wiki iliyopita.
Katika ajali hiyo hakuna mtu yoyote amejeruhiwa, Mbunge huyo yuko salama, gari la Sugu limeharibiwa vibaya baada ya kugongana na basi la abiria.

No comments:

Post a Comment