STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, July 2, 2013

Hivi ndivyo Rais Obama alivyopokelewa Tanzania

RAIS OBAMA akiteremka kwenye Air Force One na mtoto wake pembeni mara baada ya kuwasili katika ardhi ya Tanzania wakati akitokea afrika ya Kusini jana mchana kwa ziara ya kikazi nchini.Barack Obama akipokewa na Wananchi wa  Tanzanian huku wanaband wakitumbuiza nyimbo mbalimbali kwenye uwanja wa Mwl.Julius Kambarage jijini Dar es Salaam jana mchana akitoka Africa kusini.


Rais Obama akipita kwenye kapeti jekundu huku akiwa na furaha na kucheza nyimbo za wabongo kwenye uwanja wa jijini Dar es salaam wa Mwl. Julius Kambarage mchana wa jana.

Karibu  Tanzania....karibu!!!

Ilikuwa ni patashika kwa wacheza ngoma hapa!!! Obama mpaka akaachia Tabasamu

Rais Obama akicheza nyimbo za hapa kwetu Bongo huku akiwa na furaha kwa mapokezi baada ya kukanyaga ardhi ya Tanzania jana.U.S. President Barack Obama participates in an official arrival ceremony at Julius Nyerere Airport in Dar es Salaam, Tanzania, July 1, 2013. REUTERS-Jason ReedU.S. President Barack Obama walks with Tanzanian President Jakaya Kikwete during an official arrival ceremony at Julius Nyerere Airport in Dar es Salaam July 1, 2013. REUTERS-Jason ReedObama na JK.U.S. President Barack Obama and first lady Michelle Obama receive flowers, as their daughter Sasha (2nd R) watches, during an official arrival ceremony at Julius Nyerere Airport in Dar es Salaam, Tanzania, July 1, 2013. REUTERS-Jason ReedKaribu Baba ! Karibu Tanzania!

Rais na First Lady Obama wakisalimia wananchi wa Tanzanian baada ya kupokewa na Rais Jakaya Kikwete na First Lady Salma
Ni furaha hapa baada ya Rais Obama kutua Bongo, hapa anaonekana na mwenyeji wake rais Jakaya Kikwete wakipokewa kwa ngoma Ni mimi jamani ...tupo pamoja !. Karibu jamani ....jaribu mzee!!! Tunakupenda!! Mapokezi haya!!! angalia mavazi!!  Rais Barack Obama wa Marekani (kushoto) akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari wa Tanzania na Kimataifa Ikulu Jijini Dar es Salaam jioni YA JANA ambapo mbali na kuzungumzia mstakabali wa ziara yake nchini Tanzania na Afrika pia amezungumzia masulala mbalimbali ya Kimataifa ukiwepo mgogoro na Vurugu zinazoendelea nchini Misri na Congo DRC.

No comments:

Post a Comment