RAIS OBAMA akiteremka kwenye Air Force One na mtoto wake pembeni mara baada ya kuwasili katika ardhi ya Tanzania wakati akitokea afrika ya Kusini jana mchana kwa ziara ya kikazi nchini.
Barack Obama akipokewa na Wananchi wa Tanzanian huku wanaband
wakitumbuiza nyimbo mbalimbali kwenye uwanja wa Mwl.Julius Kambarage
jijini Dar es Salaam jana mchana akitoka Africa kusini.
Rais Obama akipita kwenye kapeti jekundu huku akiwa na furaha na kucheza nyimbo za wabongo kwenye uwanja wa jijini Dar es salaam wa Mwl. Julius Kambarage mchana wa jana.
Karibu Tanzania....karibu!!!
Ilikuwa ni patashika kwa wacheza ngoma hapa!!! Obama mpaka akaachia Tabasamu
Rais Obama akicheza nyimbo za hapa kwetu Bongo huku akiwa na furaha kwa mapokezi baada ya kukanyaga ardhi ya Tanzania jana.
Rais na First Lady Obama wakisalimia wananchi wa Tanzanian baada ya kupokewa na Rais Jakaya Kikwete na First Lady Salma
Ni furaha hapa baada ya Rais Obama kutua Bongo, hapa anaonekana na mwenyeji wake rais Jakaya Kikwete wakipokewa kwa ngoma
Ni mimi jamani ...tupo pamoja !.
Karibu jamani ....jaribu mzee!!! Tunakupenda!!
Mapokezi haya!!! angalia mavazi!!
Rais
Barack Obama wa Marekani (kushoto) akizungumza katika mkutano na
Waandishi wa habari wa Tanzania na Kimataifa Ikulu Jijini Dar es Salaam
jioni YA JANA ambapo mbali na kuzungumzia mstakabali wa ziara yake nchini
Tanzania na Afrika pia amezungumzia masulala mbalimbali ya Kimataifa
ukiwepo mgogoro na Vurugu zinazoendelea nchini Misri na Congo DRC.
No comments:
Post a Comment