STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, September 16, 2013

Wamalawi wamiminika uhamiaji kujiandikisha zoezi la utambuzi wa wahamiaji haramu

Raia wa Malawi wakijiandikisha katika Idara ya Uhamiaji, Mkoa wa Dar es Salaam leo kuhusu zoezi linaloendelea la kuwatambua wahamiaji haramu jijini Dar es Salaam. (Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).


Baadhi ya raia wa Malawi wakiwa katika foleni ya kujiandisha leo kwenye ofisi za uhamiaji jijini Dar es salaam 
Zoezi la utambuaji ya wahamiaji  haramu likiendelea wahamiaji wakiwa katika ofisi ya uhamiaji leo jijini Dar es salaam

No comments:

Post a Comment