STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, October 13, 2013

Mbunge Kigamboni ateta na wapiga kura wake


MBUNGE wa Jimbo la Kigamboni, Dk. Faustine Ndugulile akihutubia wananchi wa Kijichi wakati wa ziara yake ya kuelezea utekelezaji wa ilani ya chama chake cha CCM katika kipindi cha uongozi wake. Pia alipata nafasi ya kupokea kero mbalimbali za wananchi.

No comments:

Post a Comment