STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, October 22, 2013

Watatu wafa katika ajali Ruaha

AJALI hii imetokea jana maeneo ya kona za Ruaha ukiwa mwanzo mwanzo kuelekea Iringa, Kwa mujibu wa vyanzo vya habari hii vilidai kuwa ni watu watatu walikufa na kati yao mmoja alifariki papo hapo chanzo mwendo wa kasi wa dereva wa basi ktk kuovateki na
ghafla akakutana na lori lililoharibi katika kona.

No comments:

Post a Comment