STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, December 3, 2013

Aboubakar Mlawa aula UVCCM awa kamanda Kisarawe

Kamanda wa  Mpya wa umoja wa Vijana CCM wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Aboubakary Mlawa akisimikwa kuwa Kamanda wakati wa sherehe maalum iliyofanyika katika makao makuu ya ccm Wilayani Kisarawe hii ni moja ya njia ya  kuhamasisha katika utekelezaji wa ilani ya chama kwa vijana akiwa ameshika mkuki na ungo pamoja na kigoda cha asili
Mbunge wa jimbo la Kisarawe  Suleiman Jaffo m akiteta jambo na kamanda mpya wa Vijana Wilayani Kisarawe Aboubakary Mlawa kulia mara baada ya kuapishwa kuwa Kamanda mpya wa Vijana katika wilaya hiyo huku akiwashukuru vijana wa wilaya hiyo kwa ushirikiano waliompa kwa kumchagua kuwa kamanda huku akitoa maelezo yake kwamba umoja ni nguvu tutatekeleza ilani ya chama vijana ndio ngao yetu kwa Taifa hili.
Kamanda wa Vijana UVCCM wilaya ya Kisarawe Aboubakary Mlawa akiapa kuwa kamanda wa vijana kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia novemba 28 mwaka huu,nyuma kulia ni mwenyekiti wa UVCCM taifa Mh Sadifa Hamisi na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Mh Habib Nyundo wakishuhudia.

No comments:

Post a Comment