STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, December 21, 2013

AJALI TENA! Watu 7 wafa ajali ya gari la Allys



ROHO za watanzania wenzetu zimeendelea kuteketea kwenye ajali za barabarani mwishoni mwa mwaka baada ya watu 7 kufariki papo hapo na wengine kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la Ally's na Hiace iliyokea jijini Mwanza.
Inadaiwa kuwa, basi hilo la Ally's linalofanya safari zake kati ya DSM na Mwanza liligongana  uso kwa uso na Hiace hiyo inayofanya mizunguko ya kubeba abiria (daladala) katika eneo la Buhongwa jijini Mwanza.

No comments:

Post a Comment