STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, January 1, 2014

Ajali! Wa3 wafa, basi la Taqwa lapata ajali Moro

Taarifa zilizofika hivi punde zinasema kuwa basi la Taqwa limegongana na lori na kusababishja ajali ya watu watatu na wengine kujeruhiwa.
Ajali hiyo inadaiwa kutokea eneo la Mikumi, mkoani Morogoro wakati basi hilo likidaiwa kutaka ku-overtake lori na kukutana uso kwa uso na lori jingine na kusababisha vifo vya abiria hao wanawake wakiwa wawili na mwanaume mmoja.
Taarifa zaidi zinaendelea kufuatiwa na mtajulishwa
1388581742264 1388581761327


No comments:

Post a Comment