STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, January 13, 2014

Ghana waanza vyema CHAN wainyuka Congo kimoja

CHAN 2014 : Group C Ghana and Congo collide
GHANA imeanza vyema michuano ya CHAN inayofanyika nchini Afrika Kusini baada ya jioni hii kuilaza Jamhuri ya Kongo kwa bao 1-0 katika pambano lililochezwa kwenye uwanja wa Free State.
Bao pekee lililoihakikishia 'vigogo' hao kukusanya pointi tatu muhimu, lilitupiwa kambani na Theophilus Anobaah katika dakika ya 34 ya pambano hilo.
Muda mfupi ujao kundi hilo la C litashuhudia pambano jingine kali kati ya DR Congoi itakayoumana na Ethiopia kwenye uwanja huo huo katika mfululizo wa michuano hiyo.

No comments:

Post a Comment