STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, March 4, 2014

Sikia hii! Mchungaji akataza waumini wake wasivae Ch**pi


UKISIKIA Mwisho wa Dunia haupo mbali ndiko huku, Mchungaji mmoja nchini Kenya amewapiga marufuku waumini wake wa kike kuvaa nguo za ndani waendapo kufnya ibada ndani ya kanisa analoliongoza ili wampokee YESU wakiwa huru.
Mchungaji huyo Mkenya amenukuliwa nchini mwake kuwa waumini wanapaswa kuwa huru kimwili na kiroho wakati a kumpokea Bwana hivyo wanapaswa kutovaa nguo za ndani.
Ebu soma taarifa hiyo hapo nchini uone maajabu ya mwisho wa dunia na wanaojifanya wachungaji wa Kondoo za BWANA.
KENYAN Pastor Orders Female Congregants To Attend Church Without Putting On Bras & Panties For Christ To Enter Their Lives 'Freely'

A Kenyan pastor has ordered his female congregants to go to the church 'free' - That
is without bras and panties for Christ to enter their
lives.

According to kenyan-post.com, Reverend Njohi of the Lord's Propeller Redemption Church in Nairobi reportedly advised female worshippers against
wearing any undergarments to the church, calling them ungodly.

In a meeting chaired by him, a law was passed banning the wearing of inner wears.

Njohi claims that when going to church, people need to be free in 'body' and 'spirit' to receive Christ.

He went ahead to warn members of dire consequences if they secretly put on their inner wears.

Mothers were also advised to do same and check their daughters when coming to church on Sundays so as to receive Christ too.

No comments:

Post a Comment