STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, June 9, 2014

Didier Drogba kurudi Chelsea?

DIDIER Drogba anajiandaa kurejea Chelsea katika kipindi hiki cha usajili. Mshambumbuliaji huyo mwenye umri wa miaka 36 kwa sasa yuko na klabu ya Galatasaray ya Uturuki lakini kocha Jose Mourinho hajapoteza mapenzi yake ya kutaka kumsajili tena nyota huyo aliyeondoka Stamford Bridge 2012.
Mshambuliaji huyo kwa sasa yupo nchini Brazil kwa ajili ya Fainali za Kombe la Dunia zitakazoianza Alhamisi ambapo timu yake ya Ivory Coast imepanbgwa katika kundi C pamoja na Japan, Colombia na Ugiriki

No comments:

Post a Comment