STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, June 28, 2014

Soma orodha ya waliochaguliwa Kidato cha Tano 2014

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi nchini, imetoa  majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na shule mbalimbali kwa ajili ya kuendelea na elimu ya sekondari kidato cha tano, sanjari na vyuo mwaka 2014.

Orodha hiyo imetangazwa jijini Dar es salaam tangu Juni 17, ambapo idadi ya wasichana waliochaguliwa kwa nafasi hizo ni 9,378, waliochaguliwa katika machaguo 13 ya masomo mbalimbali ya kidato cha tano na masomo 11 ya vyuo vya ufundi.

Shule zilizopangiwa wanafunzi ni 201, ambapo shule za wasichana pekee ni 61, huku shule 34 zikiwa za jinsia zote mbili, wasichana na wavulana.

Idadi ya wanafunzi wavulana waliochaguliwa katika machaguo 13 ya masomo mbalimbali ya ngazi hiyo, ni 22,138.
Kupata Majina Hayo tafadhali bonyeza Links Hizi Hapa chini

No comments:

Post a Comment