STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, September 1, 2014

Rasmi Chicharito mali ya Real Madrid

Akiwa na jezi yake mpya ya Real Madrid na Rais wa klabu hiyo Perez
Wakati akichukuliwa vipimo vya afya na kubainika yupo fiti
Akiangunga saini ya kuichezea klabu hiyo bingwa ya Ulaya
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Mexico, Javier Harnendez Chicharito amefaulu vipimo vya kujiunga na klabu ya Real Madrid na amekabidhiwa jezi namba 14 kwa ajili ya kuichezea wababe hao wa Ulaya kwa mkopo akitokea klabu yake ya Manchester United.
Chichirito ambaye hakuwa na nafasi katika kikosi cha kwanza cha Mashetani Wekundu tangu alipotua akitokea kwao Mexico, amejiunga na Madrid akimpisha Ramadel Falcao aliyetokea Monaco aliyetua Old Trafford kwa mkopo vilevile.
Mshambuliaji huyo alitua Ol Trafford mnamo mwaka 2010 na amenyakuliwa na Madrid ili kuchukua nafasi ya Alvaro Morata ambaye aliuzwa Juventus.

No comments:

Post a Comment