STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, November 7, 2014

Aibu! Huu ndiyo waraka ulionaswa na UKAWA, Serikali yajitetea


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhQVSm8E31wk1Jp_U2mmpWrcXbH6mgu_fwkTutJQyIq563kVgdwvSVBmIjI4rpufX0TN47VUQ15FkEJLKiy63fbXZ-jXPKBrJ2cUtaFT36e4Xh62GuQ4Wqe69UpStKY1LLCavYlWUgS9xE/s1600/10697324_10152511503926156_3540962510431235374_o.jpg










HUU ni Waraka ambao ulinaswa na Umoja wa Katiba wa Wananchi (UKAWA) ambao umedaiwa kutolewa na serikali kwa ajili ya kuelekeza vyombo vya habari kuhakikisha wanasaidia KURA za NDIYO dhidi ya Katiba Pendekezwa wakati zoezi la upigaji kura kuipitisha kuwa Katiba Kamili kuibeba KATIBA hiyo inayopingwa na baadhi wananchi kutokana na ukweli imepuuza baadhi ya MAONI ya Wananchi na KUWEKWA MAONI ynayodaiwa kuwa masilahi kwa vigogo wa Chama Tawala kinachoiongoza nchi kwa sasa. Mapema leo asubuhi Msemaji wa Ikulu, Salva Rweyemamu alinukuliwa na BBC akikiri kuwepo kwa waraka huo akidai ni wa KAWAIDA na HAKUNA haja ya WATU  kupotoshwa kuwa ni MBINU za serikali KULAZIMISHA KATIBA hiyo hata kama ni kweli wapo wanayoipinga. Kwa hali hii ni kweli upo UHURU wa MAWAZO kwa WANANCHI?! IKULU inahusiana vipi na Kampeni Hii wakati suala hili?! Hii uthibitisho wa madai na vilio vya watu wengi kuwa KATIBA iliyopendekezwa siyo ya WANANCHI bali ni ya WATAWALA. MICHARAZO MITUPU yetu MACHO!

.

No comments:

Post a Comment