STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, November 7, 2014

Newz Alert! Basi la Happy Nation lapinduka Mbeya


Picha kwa Hisani ya Joseph Mwaisango
TAARIFA ambazo zimepatikana kutoka mjini Mbeya zinasema kuwa  Basi la Happy Nation limepata ajali muda huu baada ya dereva wa basi ilo kufanya juhudi za kutaka kumkwepa mwendesha baiskeli kushindikana na kupelekea kutokea kwa ajali hiyo. Ajali hii imetokea eneo la  Igurusi na pia basi hilo lilitokea Mbeya kuelekea Dar es Salaam kwa basi hilo kupinduka kama livayoonekana pichani, Inaelezwa kuwa hakuna maafa isipokuwa watu kadhaa wamejeruhiwa katika ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment