STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, March 7, 2015

Taifa Stars kuvaana na Malawi Machi 29

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEib4Geg2HzkrM8BDCTZpyd28JL_3avjxBBFaqs6CZXbhBFNXd34kYVHku38wroT3X297kNVt2VCkmx9rSLIMggDqH4wRuJ5ATjbIOGZ4lQ8txrgyljcmrIChSqjATeLt9tVQ0kvzxrFiQvm/s1600/Taifa+Stars+group+picture.JPG
Taifa Stars itakayovaana na Malawi katika pambano linalotambuliwa na FIFA
TIMU ya soka ya taifa, Taifa Stars inatarajiwa kushuka dimbani Jumapili ya Machi 29 mwaka huu, kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya taifa ya Malawi, The Flames.
Pambano hilo litachezwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Mchezo huo wa kirafiki ambao upo katika kalenda ya FIFA kwa timu za Taifa (Machi 23-31) na utatarajiwa kuanza majira ya saa 10 na nusu jioni kwa saa za Afrika Mashariki.

No comments:

Post a Comment