STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, July 11, 2015

DK SLAA NDIYE MGOMBEA URAIS WA UKAWA

WAKATI CCM ikiendelea na mchakato wake wa kumteua mgombea mmoja wa Urais miongoni mwa wagombea watano waliopitishwa na Kamati Kuu ya chama hicho, Umoja wa Katiba ya Watanzania (UKAWA) wamemaliza udhia kwa kumteua Mgombea wao wa Urais kwa Uchaguzi wa 2015.
.

Baada ya jina la katibu Mkuu wa Chadema Dk Wibroad Slaa likiwa limeteuliwa na UKAWA kuwa mgombea wake wa nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba.
Dakika chache zilizopita kwenye ukurasa  wa @twitter wa Dr Slaa kathibitisha kuteuliwa na UKAWA.
.

Nashukuru UKAWA kwa imani kubwa. Kazi ya mabadiliko iliyoanza 1992 kwa vyama vingi imebakiza miezi michache kushinda. Kura yako ni ukombozi –  @willibrordslaa
Nashukuru UKAWA kwa imani kubwa. Kazi ya mabadiliko iliyoanza 1992 kwa vyama vingi imebakiza miezi michache kushinda. Kura yako ni ukombozi.

No comments:

Post a Comment