STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, December 2, 2011

BREAKING NEWS: Mr Ebbo hatunaye



Taarifa zilizotufikia muda huu zinasema kwamba aliyekuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Abel Loshilaa Motika 'Mr Ebbo' amefariki alfajiri ya leo na anatarajiwa kuzikwa huko kwao Arusha siku ya Jumapili.
Mr Ebbo aliyetamba na staili yake ya kuimba 'kiswahili cha kimasai', arakumbukwa kwa nyimbo matata kama Mi Mmasai Bana, Maneno Mbofu Mbofu, 'Pombe' na nyinginezo.
Kwa taarifa za awali zinasema alikuwa akiugua kitambo, ingawa haikuwahi kuripotiwa mapema hadi leo tulipopenyezewa taarifa hizi.
Mungu Aiweke Roho ya Mr Ebbo Mahali Pema. Amin

2 comments:

  1. Dah i feel sorry, he was still very young and ambitious, may God rest his soul in eternal peace. Amen.

    ReplyDelete