STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, January 3, 2013

HALI HALISI ILIVYO NYUMBANI KWA MAREHEMU SAJUKI


Mke wa marehemu, Juma Kilowoko 'Sajuki', Wastara Juma (aliyejifunika nguo) akiwa na simanzi nzito kwa kumpoteza mumewe.
Mzee Kilowoko ambaye ni baba mzazi  wa marehemu 'Sajuki' akiwasiliana na ndugu na jamaa msibani hapo.
Mama  mzazi  wa marehemu Sajuki (wa kwanza kushoto) akiwa na majonzi.
Dada wa Wastara aitwaye Marian (aliyesujudu) akilia kwa uchungu.
 
Bibi wa marehemu Sajuki akiwasili msibani.
Pichani juu ni baadhi ya taswira za waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu Juma Kilowoko 'Sajuki', Tabata- Bima jijini Dar es Salaam. Sajuki amefariki dunia jana asubuhi akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo alikuwa akitibiwa.
(PICHA NA HAMIDA HASSAN / GPL)

No comments:

Post a Comment