STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, March 15, 2013

Falcon yakiona cha moto Ligi Kuu ya Zenji

 
TIMU ya soka ya Bandari ya Zanzibar jana iliifumua bila huruma Falcon pia ya visiwani humo katika pambano kali la Ligi Kuu ya Grand Malt ya Zanzibar iliyochezwa kwenye uwanjwa wa Amaan.
Chini ni baadhi ya matukio ya pambano hilo katika picha kama zilivyopigwa na Martin Kabemba.
 







 

No comments:

Post a Comment