STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, March 2, 2013

Polisi Moro, JKT Oljoro hakuna mbabe

Kikosi cha Polisi Morogoro

TIMU za maafande za Polisi Moro na JKT Oljoro jioni ya leo zimeshindwa kutambiana baada ya kutoka suluhu kwenye mechi pekee ya Ligi Kuu Tanzania Bara iliyochezwa kwenye uwanja wa Jamhuri, Morogoro.
Kwa sare hiyo Polisi Moro imeendeleza rekodi ya kutopoteza mechi yoyote katika duru la pili na kujiongezea pointi moja na kufikisha 16, ikijiondoa eneo la hatari.

No comments:

Post a Comment