STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, April 17, 2013


Bondia Fadili Majia akiwa na kombe la ubingwa wa kimataifa wa ngumi alililonyakua nchini Indonesia wiki iliyopita alipo mpiga bondia Heri Amol  hapa alipolakiwa baada ya kutua jijini Dar es Salaam jana. Kutoka kushoto ni Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D', mabondia Japhet Kaseba, Kanda Kabongo na Pendo Njau.
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akifurahia jambo na bondia Pendo Njau baada ya kumpokea Fadhili Majiha katikati aliyerudi na kombe la ubingwa aliouchukua Indonesia wiki iliyopita  baada ya kumtwanga bondia Heri Amol wa pili ni Japhet Kaseba mwingine ni Kanda Kabongo.

No comments:

Post a Comment