STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, April 9, 2013

WATU WAMETOKA MBALI, RAIS MPYA WA KENYA ALIPOKUWA 'KINDA'

RAIS Mpya wa Kenya, Uhuru Kenya aliyeapishwa leo nchini humo, huenda akiiona picha hii itamkumbusha mbali. Hapa ni alipokuwa mdogo akiwa ameshikwa mkono na baba yake Jomo Kenyatta wakati huo akiwa rais wa taifa hilo.Nyuma ya Kenya mwenye suti nyeusi ni aliyekuja kuwa Rais wa Pili wa Kenya, Daniel Arap Moi. Jamani watu tunatoka mbali nyie acheni!

No comments:

Post a Comment