STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, June 28, 2013

MWANADADA ANASWA NA 'UNGA' WA SH. MIL. 170/

Mwanadada Saada akiwa katika pozi
Saada siku ya mahafali yake ya kuhitimu masomo ya Chuo Kikuu mwaka jana
MWANADADA Mfanyabiashara anayefahamika kwa jina la Saada Kilongo (26), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi akishtakiwa kwa kosa ya kukamatwa na na dawa za kulevya zenye thamani ya Sh Milioni 170.
Mwanadada huyo alifikishwa katika mahakama hiyo kusomeshwa mashtaka yake jana, ambapo kesi yake ilitajwa mbele ya Hakimu Mfawidhi  Nyigulila Mwasebo na hakuweza kujibu lolote na kisha  kurudishwa rumande mpaka Julai 10 wakati kesi yake itakapotajwa tena.
Kwa mujibu wa watu wanaomfahamu Saada wanadokeza kuwa ni mwaka jana tu alitoka kuhitimu masomo yake ya Chuo Kikuu.
SOURCE -ZEDDYLICIOUS

No comments:

Post a Comment