STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, July 25, 2013

Hivi ndivyo ilivyokuwa Siku ya Mashujaa Tanzania

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka ngao na sime katika mnara wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa katika kambi ya jeshi ya Kaboya, Bukoba, mkoani Kagera leo Julai 25, 2013


Viongozi wa dini wakisoma dua kwenye maadhimisho hayo. Pembeni ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Mohamed Ali Shein, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali, Jaji Mkuu Mheshimiwa Chande Othman na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Othman Makungu




Rais Jakaya Kikwete akitembelea makaburi ya mashujaa waliopoteza maisha wakati wa vita na Nduli Iddi Amini wa Uganda

                                  Rais JK akisalimiana na askari wastaafu




No comments:

Post a Comment