STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, August 10, 2013

Miyeyusho amchapa Mzambia kwa KO Dar Live


Bondia Mtanzania Francis Miyeyusho (kulia)  akionyeshana kazi na Fidelis Lupupa wa Zambia wakati wa  mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika wakati wa Idd katika ukumbi wa Dar Live Mbagal, ambapo Miyeyusho alishinda kwa K.O ya raundi ya nane.

Bondia Kassim Rajabu akiumana na Kelvin Fabian katika pambano lao uliofanyika jana Dar Live, ambapo Fabian aliibuka mshindi kwa pointi.
Bondia Godfrey Pancho kushoto akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na Hamisi Mohamedi wakati wa mpambano wao uliofanyika sikukuu ya Idd mosi katika ukumbi wa Dar Live Mbagala
Bondia Godfrey Pancho kulia akioneshana ufundi wa kutupiana makonde na Hamisi Mohamedi wakati wa mpambano wao uliofanyika sikukuu ya Idd mosi katika ukumbi wa Dar Live Mbagala
Bondia Chipaki Chipindi akiwa na mashabiki wake baada ya kumkarisha raundi ya kwanza bondia Ramadhani Kido

Bondia Fidelis Lupupa wa Zambia akiwa chini amekaa akijifikilia kuwa aendelee au asienderee baada ya kupigwa na bondia Mtanzania Francis Miyeyusho wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala Dar es salaam Miyeyusho alishinda kwa KO ya raundi ya nane 
Bondia Mtanzania Francis Miyeyusho kulia  akipambana na Fidelis Lupupa wa Zambia wakati wa  mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika wakati wa Sikuku ya Iddi katika ukumbi wa Dar Live Mbagala Miyeyusho alishinda kwa K.O ya raundi ya nane 
Bondia Fidelis Lupupa wa Zambia akiwa chini amekaa akijifikilia kuwa aendelee au asienderee baada ya kupigwa na bondia Mtanzania Francis Miyeyusho wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala Dar es salaam Miyeyusho alishinda kwa KO ya raundi ya nane 
Bondia Mtanzania Francis Miyeyusho kushoto  akipambana na Fidelis Lupupa wa Zambia wakati wa  mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika wakati wa Sikuku ya Iddi katika ukumbi wa Dar Live Mbagala Miyeyusho alishinda kwa KO ya raundi ya nane 

MIYEYUSHO AKISHANGILIA USHINDI

MIYEYUSHO AKIWA KATIKA POZI

No comments:

Post a Comment