STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, August 25, 2013

Msondo Ngoma yatumbuiza kwa mara ya kwanza bila Gurumo

Baadhi ya wanamuziki wa Msondo Ngoma wakitumbuiza kwa mara ya kwanza baada ya mwanamziki mkongwe wa bendi hiyo Muhidini Gurumo kustaafu. Kutoka kushoto ni Shabani Lendi, Hamisi Mnyupe, Saidi Mabera, Juma Katundu na Shabani Dede.
Wanamuziki wa Msondo Ngoma kushoto ni Shabani Lendi,Hamisi Mnyupe,Saidi Mabera,Juma Katundu na Mustafa Pishuu wakitumbuiza bila gwiji, Muhidin Gurumo aliyetangaza kustaafu muziki.
Wanamuziki wa Msondo, Abdul Ridhiwani, Eddo Sanga, Athuman Kambi na Juma Katundu wakionyesha manjonjo yao katika onyesho lao la jana.
Wanamuziki Abdul Ridhiwani, Eddo Sanga, Athuman Kambi, Juma Katundu na Mustafa Pishuu wakitumbuiza.
Wasanii Hamisi Mnyupe kushoto na Romani Mng'ande wakiwajibika jukwaani

No comments:

Post a Comment