STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, September 26, 2013

TANZIA! Mwanahabari Venance George afariki dunia


TASNIA ya Habari imepata pigo baada ya Mwandishi wa Habari wa magazaeti ya kampuni ya Mwananchi Communication Limited mkoa wa Morogoro, Venance George (Pichani anayeangalia kamera) kufariki dunia leo mchana katika hospitali ya mkoa wa Morogoro.
Kwa mujibu wa taarifa toka Morogoro marehemu aliyewahi kuyaandikia pia magazeti ya Uhuru na Mzalendo alifariki na mipango ya mazishi inaendelewa kufanywa na familia yake ikishirikiana na MCL.
MICHARAZO inatoa pole kwa familia, ndugu na jamaa pamoja na wanahabari wote hususani kampuni ya MCL kwa msiba huo na inawatakia subira na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu kwa kuwakumbusha 'mwenzetu katangulia nasi tu nyuma yake'
'BWANA AMETOA NAYE NDITYE ALIYETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE'

Credit:Juma Mtanda

No comments:

Post a Comment