STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, November 29, 2013

Tottenham Hotspur yapoza machungu Europa League kuikabili Man Utd J'2


KLABU ya Tottenham Hotspur ilisahau machungu yote ya kipigo cha iabu cha mabao 6-0 toka kwa Manchester City katika mechi za Ligi Kuu ya England baada ya kuendeleza ushindi wa 100% katika UEFA Europa League kwa kuilaza Tramso wa Norway na kutinga hatua inayofuata.
Ushindi huo w augenini umeifanya Spurs kufikisha pointi kutokana na mechi tano ilizocheza ikifunga mabao 11 na kufungwa moja, inaweza kuwaweka vyema kabla ya kuwakabilia Manchester United katika mechi nyingine ngumu ya Ligi Kuu siku ya Jumapili.
Wenyeji Tramso walianza kujifunga wenyewe kupitia mchezaji wao Adnan Causevic aliyekuwa katika harakati za kuokoa mpira katika dakika ya 63 kabla ya Moussa Dembele kuihakikisha Spurs ushindi huo na kuongoza kundi lake la K wakifuatiwa na Azhi Machkachala ya Urusi.
Katika mechi nyingine za Ligi hiyo ndogo ya Ulaya  ni kama ifuatavyo;
Shakhter Karagandy 0 - 2    PAOK 
Kuban' Krasnodar     4 - 0     St. Gallen 
Rubin Kazan'     1 - 1     Maribor 
Anzhi     1 - 1     Sheriff     
Genk     3 - 1     Dynamo Kyiv    
Rapid Wien     2 - 1     Thun     
Slovan Liberec     1 - 2     Freiburg   
Sevilla     1 - 1     Estoril    
Olympique Lyonnais     1 - 0     Real Betis   
Rijeka     0 - 0     Vitória Guimarães       
Trabzonspor     4 - 2     Apollon    
Legia Warszawa     0 - 2     Lazio   
AZ     2 - 0     Maccabi Haifa     
Swansea City     0 - 1     Valencia    
Chornomorets     2 - 1     Dinamo Zagreb    
Ludogorets     2 - 0     PSV    
Elfsborg     0 - 1     Salzburg  
Esbjerg     2 - 1     Standard Liège     
Wigan Athletic     1 - 2     Zulte-Waregem    
Paços de Ferreira     0 - 0     Fiorentina  
Dnipro Dniprop…     4 - 1     Pandurii Târgu Jiu   
Bordeaux     0 - 1     Eintracht Fran…     
APOEL     0 - 0     Maccabi Tel Aviv    

No comments:

Post a Comment