STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, June 11, 2014

Mapacha kupamba Miss Ubungo Ijumaa


BENDI ya Mapacha Watatu inatarajiwa kupamba shindano la kumsaka mrembo wa Ubungo 'Redd's Miss Ubungo 2014' litakalofanyika siku ya Ijumaa kwenye ukumbi wa Landmark Hotel, Ubungo Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa waandaaji wa shiondano hilo Mapacha Watatu chini ya uongozi wa Khaleed Chuma 'Chokoraa' watafganya makamuzi kunogesha shindano hilo litakalowashirikisha warembo 18 kuwania taji hilo.

No comments:

Post a Comment