STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, July 15, 2014

KAJALA ampa UJUMBE mzito MWANAE akisherehekea miaka 12 ya kuzaliwa kwake

Paula
Kajala na mwanae Kajala
SIKU kama ya leo miaka 12 iliyopitaq  mwanadada Kajala Masanja alifanikiwa kujifungua mtoto wake aliyezaa na P Funk Majani aitwaye Paula.
Katika kuikumbuka siku hiyo muhimu kwa mwanae, Kajala kupitia ukursa wake wa INSTAGRAM ameandika ujumbe maalu kwa mtoto wake kueleza magumu yao yote waliopitia tangu siku ya kwanza Paula alipokuja duniani kwa kuzaliwa mpaka sasa...Kiukweli Kajala amefunguka mengi sana.....

No comments:

Post a Comment