STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, August 17, 2014

Stoke City wamnyakua Victor Moses wa Chelsea

http://images.dailystar-uk.co.uk/dynamic/58/photos/178000/620x/6178.jpgWINGA wa Chelsea, Victor Moses amejiunga na Stoke City kwa mkopo wa muda mrefu kocha Jose Mourinho akijaribu kupounguza kikosi chake kuelekea msimu mpya.
Moses anaachana na kocha huyo Mreno na kwenda kujiunga na timu ya Mark Hughes Uwanja wa Britannia.
Mnigeria huyo alicheza kwa mkopo msimu uliopita Liverpool, lakini akawa anasotea namba kwenye kikosi cha kikosi cha Brendan Rodgers.

No comments:

Post a Comment