STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, September 9, 2014

Danny Welbeck aibeba England michuano ya kuwania Euro 2016

At the double: Danny Welbeck wraps up victory for EnglandMSHAMBULIAJI mpya wa Arsenal, Danny Welbeck usiku wa kuamkia leo amethibitihs aubora wake baada ya kuipa England ushindi wa 2-0 dhidi ya Uswisi ugenini katika mechi ya kuwania kufuzu Euro 2016. Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester United, alifunga mabao hayo katika dakika za 59 na 90 na kumfanya kocha Roy Hodgson aondoke na furaha uwanjani.
Welbeck aliyekuwa hana nafasi katika kikosi cha kwanza cha Mashetani Wekundu alinyakuliwa na Arsene Wenger mwishoni mwa msimu wa usajili kwa mkopo.

No comments:

Post a Comment