STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, September 9, 2014

Maskini, Kisura huyu kumbe alijinyonga

Ripoti: Mwimbaji wa kike wa Marekani aliyekutwa amekufa nyumbani kwake alijinyonga
POLISI wa Los Angeles wameeleza kuwa mwimbaji wa kike wa Marekani, Simone Battle aliyekutwa amekufa nyumbani kwake wiki iliyopita alijiua kwa kujinyonga.
Sababu ya kifo chake imetajwa siku mbili baada ya polisi kuanza uchunguzi kufuatia tukio hilo lililotokea kusini mwa Hollywood.
Simone Battle aliwahi kuwa mshiriki wa shindano la kuimba la X Factor na kufika katika hatua ya fainali, pia alikuwa member wa kundi la G.R.L.

No comments:

Post a Comment