STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, October 23, 2014

Atletico Madrid moto chini, Juve yafa Galatasaray wanyukwa x4

Captain Diego Godin celebrates scoring Atletico Madrid's fourth goal against Malmo with teammate Joao Miranda
Nahodha Diego Godin akifurahia bao lake wakati Atletico Madrid wakiiangamiza Malmo
Pajtim Kasami
Muuaji aliyeizamisha Juventus akishangilia bao lake
Reus
Dortmund wakipongeza
Reus

ATLETICO Madrid imeendelea rekodi yake ya kutopoteza mchezo wowote nyumbani kwake baada ya usiku wa kuamkia leo kuwatungua Malmo ya Sweden mabao 5-0, huku Juventus ikilala ugenini kwa bao 1-0 dhidi ya Olympiacos.
Vijana wa Diego Simeone waliocheza mechi ya fainali za michuano hiyo msimu uliopita walipata mabao yake kupitia kwa Koke, Mandzukic, Griezmann, Godin na Cerci na kufanya Atletico kufikisha pointi 6 sawa na Olympiacos waliowanyoa Juvetus.
Katika mechi nyingine za michuano hiyo   Bayer Leverkusen walishinda nyumbani mabao 2-0 dhidi ya Zenit, Monaco ikang'ang'aniwa nyumbani na Benfica kwa kutoka suluhu, Galatasaray wakafa nyumbani kwa mabao 4-0 kichapo walichopewa na Borussia Dortmund.

No comments:

Post a Comment