STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, January 5, 2015

Kachumbari kuzikwa kesho Goba, Dar es Salaam

10898226_10152990764907888_9161307175547706048_n
Flowin Kachumbari
MWANAMUZIKI mpiga drum wa miaka mingi ambaye hivi karibuni alikuwa na bendi yake African Chacha Band, Kachumbari aliyefariki jana anatarajiwa kuzikwa kesho Goba, pembezoni mwa jiji la Dar es Salaam.
Frowin ambaye ni mwenyeji wa mikoa ya Kusini alianzisha bendi yake hii akawa akipiga muziki wa mahadhi ya kwao na kuwa na tenda nyingi katika mahoteli mbalimbali. Alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya uti wa mgongo yaliyokuwa yakimsababishia maumivu ya miguu.(Picha kwa Hisani ya William Kaijage)

No comments:

Post a Comment