STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, May 17, 2015

Yanga kumburuza Kaswahili kwa kuwavuruga na Uchaguzi Mkuu

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiqUTWsunsvMhVtp4e_JZoyn_ePj50-JKy62V_bBQmAcWRCoy-EHSlgmh4CkiTmkDZGL98bblGcuaOD5kuegKWxpGNTHfmmDKh6k5Ua7cI9Yo4ly8qhgnkBUQHnvrYKkK8E-YzkG_2ZnLmA/s1600/AAA.jpg





barua ya yanga kesi
UONGOZI wa klabu ya soka ya Yanga umepanga kumburuza kwenye Kamati ya Maadili kwa mwanachama wao aliyejitambulisha kama Katibu wa Kamati ya Uchaguzi, Francis Kaswahili, juu ya Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo kinyume na taratibu. Uongozi wa Yanga umesema kuwa Kaswahili siyo Katibu wa kamati hiyo kwani kamati aliyokuwa akiiongoza ilishavunjwa, pia, hakutumwa na Sekratarieti ya Yanga na hat uanachama wake una walakini kwani siyo hai kwa miaka mingi. taarifa rasmi ni hiyo inayosomeka hapo juu. Kaswahili alitangaza Yanga ingefanya Uchaguzi wake mkuu Julai 12 mwaka huu japo ambalo uongozi umeruka kimanga.

No comments:

Post a Comment