STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, May 28, 2016

Kocha Benitez akomaa na Newcastle United 'mchangani'

Benitez Akisaini Mkataba huo wa kumweka Newcastle United Miaka 3Wakati wa Mkutano na Waandishi wa habari juu ya kuongeza Miaka 3 kuifundisha Klabu hiyo ya Newcastle UnitedKwenye Mkutano na Waandishi huko St. James Park
KOCHA Rapa Benitez amesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuendelea kuinoa Newcastle United licha ya klabu hiyo maarufu England kushuka daraja msimu huu.
Benitez alisaini mkataba huo baada ya mkataba wake wa muda mfupi wakati akipambana kuiokoa Newcastle isizame kumalizika. Kocha huyo ameahidi kuirejesha timu hiyo Ligi Kuu ya England akiamini alicheleweshwa kukabidhiwa timu wakati ikiwa na hali mbaya. VIjana hao wa Benitez walimaliza msimu kwa kutoa kipigo kitakatifu kwa Tottenham Hotspur na kuinyima nafasi ya kumaliza ikiwa ya pili na badala yake kuwaacha mahasimu wao wa London ya Kaskzini, Arsenal wakiibamba nafasi hiyo nyuma ya Leicester City walikuwa mabingwa wapya wa England.

No comments:

Post a Comment