STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, May 22, 2016

Simba bado, Azam yapata bao, Kagera safii

Azam inayoongoza dhidi ya Mgambo
Uwanja wa Taifa hali bado ngumu kwa Simba ikiwa bado ipo nyuma kwa mabao 2-0, lakini Azam imeweza kupata bao la kuongoza katika kipindi hiki cha pili kupitia Ramadhani Singano wakianza kuielekeza Mgambo JKT mahali pa kutokea kuungana na Wagosi wenzao wa Kaya kushuka daraja, kwani Kagera Sugar wametakata kwa sasa wakiongoza mabao 2-0 dhidi ya Mwadui FC mjini Shinyanga, kwingine kumekabaki kama kulivyo. Usiwe mbali na MICHARAZO upate matokeo.

No comments:

Post a Comment