STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, January 6, 2018

Cheki Ratiba, Msimamo wa Kombe la Mapinduzi 2018

RAHIM JUNIOR
BAADA ya mechi za jana za makundi ya Kombe la Mapinduzi, cheki ratiba na msimamo wa michuano hiyo inayozidi kushika kasi visiwani Zanzibara na itakayofikia tamati Januari 13 ambapo bingwa wa mwaka huu atafahamika.
Kwa sasa Azam ndio wanaoshikilia taji hilo baada ya kuipokonya Simba katika fainali za mwaka jana. Timu hizo zitakutana tena katika mechi kali itakayopigwa usiku wa leo kwenye Uwanja wa Amaan, Unguja.

RATIBA:

Leo Jumamosi
JKU v Singida United
Simba v Azam

Kesho Jumapili

Zimamoto v Yanga

Jumatatu

Simba v URA
Yanga v Singida United

Jumatano, Jan 10, 2018
NUSU FAINALI

Kinara Kundi A v
Mshindi wa Pili Kundi B

Kinara Kundi B v
Mshindi wa Pili Kundi A
Saa 2:15 usiku

Jan 13, 2018
FAINALI

Saa 2:15 usiku

Msimamo:

Kundi A
               P    W    D    L    F    A    Pts
1.Singida  3    3    0    0    9    3    9
2.Yanga    3    3    0    0    5    1    9
3.M'ndege 5    2    0    3    5    7    6
4.Taifa      5    1    1    3    3    7    4
5.JKU       4    1    1    2    2    3    4
6. Z'moto 3    1    0    2    3    4    3

Kundi B
               P    W    D    L    F    A    Pts
1.URA      3    2    1    0    3    1     7
2.Azam    3    2    0    1    6    1    6
3.Simba   2    1    1    0    4    1    4
4.Mwenge4    1    1    2    2    4    4
5.Jamhuri4    0    1    3    2    9    1


No comments:

Post a Comment