MAKOCHA WA MASUMBWI WAHITIMU KOZI YA AWALI
| Baadhi ya makocha wa mchezo wa masumbwi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuhitimu mafunzo ya awali yaliyomalizika jana Dar es salaam |
| Meja Charles Mbuge akihojiwa na wana habari wakati wa kufunga mafunzo hayo |
| Mmoja ya wakufunzi Kulwa Kindondi akihojiwa na wandishi wa habari |
| kocha Charles Mhilu kushoto akihojiwa kuhusu kozi hiyo |
| Mmoja ya wakufunzi Kulwa Kindondi kushoto akiwa na Patric Nyembela wa EATV |
No comments:
Post a Comment