STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, February 22, 2013

MAKOCHA WA MASUMBWI WAHITIMU KOZI YA AWALI


Meja Charles Mbuge wa pili kushoto akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya awari ya ukocha wa mchezo wa masumbwi, Charles Mhilu wakati wa kumalizika kwa kozi hiyo Dar es salaam leo kushoto ni mjumbe wa BFT, Koba Kimanga na Rais wa shirikisho hili, Michael Changalawe.
Baadhi ya makocha wa mchezo wa masumbwi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuhitimu mafunzo ya awali yaliyomalizika jana Dar es salaam 
Meja Charles Mbuge akihojiwa na wana habari wakati wa kufunga mafunzo hayo
Mmoja ya wakufunzi Kulwa Kindondi akihojiwa na wandishi wa habari
kocha Charles Mhilu kushoto akihojiwa kuhusu kozi hiyo
Mmoja ya wakufunzi Kulwa Kindondi kushoto akiwa na Patric Nyembela wa EATV  

No comments:

Post a Comment