STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, March 18, 2013

Hii ndiyo ratiba kamili ya Taifa Stars kuivaa Morocco

Kocha Kim Poulsen akiwaonoa wachezaji wa Stars walipokuwa wakijiandaa kucheza na Cameroon

Na Boniface Wambura 
TIMU ya taifa, Taifa Stars inatarajiwa kucheza mechi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia 2014 zitakazofanyika nchini Brazil dhidi ya Morocco. Mechi hiyo itachezwa Jumapili katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Ratiba kamili ya timu hiyo kuelekea kwenye mchezo huo ni kama ifuatavyo; 

Jumamosi, Machi 16- Wachezaji kuanza kuripoti kambini

Jumapili, Machi 17- Mazoezi Uwanja wa Karume- Saa 2 asubuhi

Jumatatu, Machi 18- Mazoezi Uwanja wa Karume- Saa 9 alasiri

Jumanne, Machi 19- Mazoezi Uwanja wa Taifa- Saa 9 alasiri

Jumatano, Machi 20- Mazoezi Uwanja wa Taifa- Saa 2 asub na saa 9 alasiri

Alhamisi, Machi 21- Mazoezi Uwanja wa Taifa- Saa 9 alasiri

Ijumaa, Machi 22- Mazoezi Uwanja wa Taifa- Saa 9 alasiri

Jumamosi, Machi 23- Mazoezi Uwanja wa Taifa- Saa 10.30 jioni

No comments:

Post a Comment